4 Bedrooms House for sale at Bagamoyo, Mbeya


NYUMBA YA KISASA YA VYUMBA VINE (4) TSHS.170 MILIONI, KIHARAKA/MINGOI.
Umbali wa mita 400 kutoka Barabara ya Bagamoyo.
Ni mbele kidogo baada tu ya Daraja la Bunju B,
Upande wa kulia ukielekea Bagamoyo.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.800.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Vyumba vya kulala 4 (Masta 1)
Sebule,Jiko,Dining-room,Store na
Choo cha Familia ndani.
Nyumba ina AC, Garden na
Parking yakutosha.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe Mnunuzi)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548.
____________jKG
Ukihitaji kuikagua taarifa mapema tafadhali.