4 Bedrooms House for sale at Kigamboni, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA 4,TSHS.65 MILIONI MIKWAMBE-CHEKECHEA/KIGAMBONI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 500.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba Safi ndani ya Fensi na ambayo ipo umbali wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Lami.
Vyumba 4 (Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+25/ 714 591 548
_______________eryt


















