4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam


NYUMBA YENYE VYUMBA VINNE(4) TSHS.45 MILIONI, MBAGALA-KINGUGI.
Ni wastanj wa kikomita 3 tu kutoka MBAGALA Kakhi3m,
Upande wa nyuma ya DARLIVE.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 800.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 4 vya kulala ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ina KISIMA cha Maji na Parking ni ya kutosha.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuina ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________rrc
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.