4 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam


Njoo mbagala m bande jiji la dar es Salam wilaya ya temeke kata ya chamaz hii nyumba nzuri sana ina uzwa bei ya kutupa sana tsh mil 35 tu
Ina eneo kubwa square mitar 450
Ina document yamsuziano ya office ya serikali ya mtaa
Vyumba vipo vinne vya kulala kimoja ni master bedroom ina sitting room na dining room inajiko na store ina kisima chamaji na umeme upo wa luku nyumba nzuri sana
Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nicheki whatspp 0759 203175 0759 203175 0652618143