4 Bedrooms House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam







NYUMBA MPYA VYUMBA VINNE (4) TSHS.280 MILIONI, MBEZI AFRIKANA.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,010.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Nyumba nzuri ya KUHAMIA.
Ni upande wa kushoto ukitoka Mwenge kuelekea Bagamoyo.
Nyumba ina nafasi,
Inapendeza na ipo kisasa.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
______________zw
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.