5 Bedrooms House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


#STAND ALONE HOUSE FOR RENT/ NYUMBA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENCE INAPANGISHWA KIMARA MWISHO 
Nyumba Ina mazingira mazuri sana 
Balabala ni rafiki Kwa gari aina zote
Vyumba vitano vya kulala kimojawapo master bedroom sebule kubwa dinning jiko kubwa,
=
Kodi 450,000 Kwa mwezi ร 6
===
Ndani ya fence parking IPO inajitegemea kila kitu, Umbali KM 1.5 Tu kutoka Morogoro Road 
Usafiri upo wa kutosha bajaji 700 pikipiki 1000
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena 
Ukipenda nyumba hii unatakiwa kulipa Kodi ya mwezi mmoja Kwa dalali
#0785889413๐๐๐๐ก๐ _๐ด๐๐๐ฒ๐ฒ 
#0785889413




















