5 Bedrooms House for Rent at Tabata, Dar Es Salaam


NYUMBA Stand alone inapangishwa
@
Mahali tabata segerea mwisho
@
Bei 2,500,000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Inavyumba 5 vyote ni master
@
Sebule 2 dining 2 jiko & choo
@
Study room
@
Na jiko la inje
@
Fensi umeme & parkingi ya kutosha
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687