5 Bedrooms House for sale at Chanika, Dar Es Salaam
NYUMBA YA VYUMBA VITANO (5) TSHS.40 MILIONI, CHANIKA KWA ZOO.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 300.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Vyumba 5 ( Kila Chumba na Choo chake ndani)
Pia kjna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Hapa unapanda Gari moja tu hadi Mjini.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
__________mskv
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.