5 Bedrooms House for sale at Kivule, Dar Es Salaam


NYUMBA 2-PAMOJA, JUMLA VYUMBA 5,TSHS.68 MILIONI,KIVULE-MATEMBELE.
Hapa ni jirani na KWA-SUGUYE.
Nyumba 2-ndani ya Kiwanja kimoja na ndani ya Fensi.
Nyumba moja ni kubwa.
Vyumba 3 (Masta 1) Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room
Store na Choo cha Familia ndani.
Nyumba ya pili ina Vyumba 2, Sebule na Jiko.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 470.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_____________mskv