5 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam







NYUMBA YA MAQNQ, VYUMBA VINNE(4) TSHS.110 MILIONI, MBAGALA CHAMAZI MZAMBARAUNI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM.600.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Nyumba kubwa Ina vyumba 4 ( 2 Vyoo ndani)
Pia kuna Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Vilevile kuna Banda lenye vyumba 5.
Nyumba ipo ndani ya Fensi na Parking ya Gari 3 ndogo ipo.
NI YAKUHAMIA.
_____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
_____________
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.