5 Bedrooms House for sale at Mbagala, Dar Es Salaam
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2Faf81dee4-7cc6-44da-88a8-5e26ea55b9cd.jpg&w=3840&q=75)
![media -1 media -1](/_next/image?url=https%3A%2F%2Fmakazimapya.s3.amazonaws.com%2Fpublic%2Fads%2Fimages%2Faf81dee4-7cc6-44da-88a8-5e26ea55b9cd.jpg&w=256&q=75)
Njoo uone live mdau wangu utojutia kabisa Nyumba kalli sana ipo mbagala mzambalauni jiji la dar es Salam wilaya ya temeke kata ya chamaz mtaa wa mkondogwa
Eneo square mitar 600
Ina document ya mauziano ya office ya serikali ya mtaa
Hii ni nyumba kubwa na banda la uwani lenye vyumba 5 vya kulala
Na hii nyumba kubwa ina vyumba vya kulala vnne vya kulala vyumba viwili ni masters bedroom
Bei ya kutupa sana tsh mil 110 tu
Kwa maelekezo zaidi nipigie cm au nicheki whatspp 0759 203175. 0759 203175 0652618143