House for rent at Goba, Dar Es Salaam


470,000 
APARTMENT INAPANGISHWA GOBA ROAD,  KWA ROBART #470K
===
Vyumba 2 vyakulala kimojawapo master bedroom sebule jiko na public toilet
==
Kodi 470,000 Kwa mwezi × 6
===
Umbali KM 1.3
===
Ndani ya fence parking kubwa yakutosha, kila apartment inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
Pia kila nyumba ina tank lake 3000litres
📍📌Nyumba hii ni nzuuri sanaa, ina A/C yake kabisa 
Maji ni free 
Paving blocks 
Ulinzi upo , pia mlinzi alipwa na mwenyenyumba 
Na mfanya usafi pia yupo
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 20 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
PIGA CM  0764575774




















