House for Rent at Ilala, Dar Es Salaam




NYUMBA YA BIASHARA, TSHS.520 MILIONI,
ILALA BUNGONI.
Hi nyumba ni ya kwenye kona.
Uoande mmoja unaiangalia Barabara ya Uhuru.
Kuna nyumba mbili hapa.
Moja ni ya GHOROFA na nyingine ni NYUMBA ya CHINI.
Pia kuna MADUKA/FREMU 7 za Biashara.
Jumla hapa Nyumba na Maduka zinaingiza jumla Tshs.3.8 Milioni kwa Mwezi.
Hapa panafaa kuweka Jengo la Biashara kama Maduka,
Maofisi, Hotel au Apartments.
Mnunuzi Tafadhali Wasiliana nami moja kwa moja.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
____________llk
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.