House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







MASTER KUBWA SANA NA JIKO
Mahali: KIMARA SUKA KUSHOTO KAMA UNAENDA MBEZI (Dsm) 🇹🇿
Umbali: 1Km
Pikipiki 1000
Bajaji 500
MUUNDO
✔️Chumba Kikubwa Master
✔️Chumba kikubwa
✔️ Jiko Kubwa Sana
✔️Mazingira Mazuri .
✔️Feni Ya Juu
HUDUMA
✔️Maji (yapo Ndani dawasa)
✔️LUKU Yako
📌Ndani Ya Fensi &Parking ipo Kubwa
KODI; 150,000/=x 6=TZS. Kwa mwezi
Malipo ni miezi 06 + Mwezi 1 wa dalali
Gharama ya kwenda Kuona Nyumba ni Tsh. 15000 itakuwawazi tarehe 30 mwezi wa 10 unaruhusiwa kuonana kulipia
SIMU 0659336751 WSP 0786085637