House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


Chumba. Masta nzuli sana zinapangiahwa ziko 5 ndani.ya.fensi usalama upo camera zimefungwa usalama kama ikuru izi masta zipo kimara mwishwa eneo.milenia shule au unaweza kupita kwa mkwere baa unafika
_____________________________________
Usafri upo wa kutoshwa sana
Boda 1000๐
Bajaji 700๐
_____________________________________
Sifa za hizi.masta kama izi
___________________________________
Chumba masta maji yanatoka chooni bomba ra mvua lipo shawa zipo
Umeme na..ma ji mnashea wa 3
Camera zimefungwa usarama kama peponi pevingbrock zipo.ukanyagi mchanga
___________________________________
masta izi zinapangishwa 100000x3๐
Yani rakimoja malipo miezi mitatu๐
____________________________________
Ndugu.mteja kuona.nyumba zetu 15000
__________________________________
*KWA MAELEZO ZAIDI PIGA*
========================
*WSP:0620_436331*
*CALL:0758_602157*
========================