House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







#260K MALIPO MIEZI X 6
LOCATION KIMARA KOROGWE 👉 KWA MKUWA KUTOKA MAIN ROD KM2
BAJAJI SH.500 UKISHUKA BODA SH.1000 KWENDA KWENYE NYUMBA
SIFA ZA NYUMBA 👇
CHUMBA MASTER BEDROOM
SEBULE KUBWA
JIKO FULL MAKABATI
LUKU MITA YAKO MAJI YANATOKA NDANI MASAA 24/7
PARKING KUBWA PAVING BLOCK CCTV CAMEL
KODI 260K MALIPO MIEZI X 6
KUONA NYUMBA SH.15000
MALIPO YA DALALI MWEZI MOJA ULIPIAPO NYUMBA🤝
NB:NYUMBA INAKUWA WAZI TAREHE 01/03/2025 KUONA NA KULIPIA RUKUSA
Kwa maelezo zaidi piga :--
0712528820
0685221354
Mr.