House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


🔰Ukilipia Hii Nyumba inawekwa Paving, Feni, Inapakwa Rangi nje na Ndani
_________
💥Nyumba Kubwa Inapangishwa, KIMARA KOROGWE
📍400,000/= *6
______
__
• Vyumba 2 vya kulala (Kimojawapo ni Master)
• Sebule Kubwa
• Dinning
• Store
• Jiko Zuri litawekwa makabati ya Juu
• Choo Cha Public
* UMEME na MAJI inajitegemea
* Maji Yanatoka ndani
#ipo 2Km usafiri upo wa bajaji Tsh. 500/=
_____
#Malipo ya dalali Nasoni ni 400,000/=
#Service Charge 15,000/=
№: 0753-172-516