House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


🔰 Inapangishwa KIMARA KOROGWE karibu sana na Kituo cha Mwendokasi
📍 Kodi ni Tsh 300,000/= *6
#Umbali wa Dakika 5 tu kwa miguu had barabarani
__
_______
• Jiko Linafungwa Makabati
• Sebule
• Chumba Master
* Imebaki 1 tu
* Inajitegemea umeme
* Maji yanaflow chooni na jikon
* Ndani ya fence
* Parking
#Bado Vitu vidogovidogo unahamia
________
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 300,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba 15,000/=
№:- 0753172516