House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


#APARTMENT MPYAA INAPANGISHWA KIMARA TEMBONI#120k
====
Chumba Cha kulala
Sebule
Choo ndani (master)
UMEME Wa3
Maji yanaflow chooni
====
Bei:120,000 kwa mwezi x 6
===
Umbali KM 1.5 toka kituoni ukishuka Bajaji umefika
====
Kupelekwa kuona Nyumba elfu 15 itadumu mpaka Upate bila kuchajiwa Tena
====
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747
0683-387747
Napatikana muda wote karibuni sana wateja