House for rent at Makongo, Dar Es Salaam


House Of Three Bedrooms, Sebule na Jiko 650kš
Specifications:-
⢠Nyumba ipo Maeneo ya Makongo Mwishoš
⢠Chumba kimoja ni Masterbedroom
⢠Jiko Lake Zuri Kabisa
⢠Fence Na Parking
⢠Umbali Kutoka Barabarani ni km 1 hadi kwenye Nyumba
Payment Conditions:-
⢠Kodi ya Nyumba Kwa Mwezi ni 650kā
⢠Malipo Ya Kodi ni ya Miezi Sita (6)
Service Fee:-
⢠Gharama Za Kuona Numba Ni 20k (Inalipiwa Mara Moja
Hadi Utakapopata Nyumba)
⢠Gharama Za Dalali Ni Mwezi Mmoja wa Kodi Ya Nyumba ambayo Hulipwa Na Mpangaji Tofauti Na Kodi
Contact:
⢠0744701813 Normal/Whatsappš²