House for rent at Mawasiliano, Morogoro

 media -1
media -1
Sh. 2,800,000
Installment Allowed
Yes

JENGO LINAPANGISHWA KWA MATUMIZI YA HOSPITAL AU OFISI
___________________________________
MAHALI-CHIDACHI ST MARY (IRINGA ROAD)

-JENGO LINATAZAMA BARABARA YA LAMI
___________________________________
MUUNDO KWA HOSPITAL
01.RECEPTION AREA
02.TRIAGE ROOM
03.DATA CABINET ROOM
04.CASHIER ROOM
05.PHARMACY AMBAYO INA STOO YAKE
06.CONSULTATION ROOMS(ZIKO 03)
07.OBSERVATION BEDROOM KUBWA YENYE TOILET
08.TREATMENT ROOM(TRACING+SMALL PROCEDURES)
09.STUFF MEETING ROOM
10.OBSERVATION ROOM FOR FEMALE
11.PANTRY (Kwaajili ya breakfast+Vitu vingine)
12.CLINIC ROOM
13.MAABARA AMBAYO INA STOO(Maabara sinks tunazo tunakufungia free)
14.VYOO KWAAJILI YA WANAUME VIWILI NA VYOO KWAAJILI YA WANAWAKE VIWILI
________________________________
AMENITIES/HUDUMA
-FIRE ALARM+DETECTION SYSTEMS
-STRUCTURE CABLING INTERNET
-SURVEILLANCE CAMERAS
-SYSTEM YA TV STATION KWENYE KILA CHUMBA
-CLEAN POWER UPS (Umeme ukikatika ghafla una back up UPS inayoweza kukaa kwa Saa moja)
-Nafasi kubwa Nje unayoweza jenga sehemu ya RADIOLOGY(X-rays,ultra sound)
-CORRIDOR KUBWA UNAYOWEZA WEKA VITI WATU WAKAKAA KUSUBIRI KUMUONA DAKTARI LAKINI PIA STRETCHERS ZA KUBEBA WAGONJWA ZIKAPITA VIZURI

-Spanish Tiles,First class sanitary equipment

-WATER RESERVE TANKS WITH PRESSURE PUMP

-AMPLE PARKING SPACE (mbele ya Jenga,nyuma ya jengo na nje pia)

-UMEME UNAOKIDHI MAHITAJI YA HOSPITAL NA VIFAA VYAKE

-TUTAFUNGA A.C MAABARA,PHARMACY NA KWINGINE FENI ZIKIHITAJIKA
_________________________
PIA TUNAPANGISHA KWA MATUMIZI YA OFISI KAWAIDA
AMBAPO KUNA
-RECEPTION
-VYUMBA 11 VYA OFISI
-STOO 02
-JIKO
-VYOO VINNE
________________________
BEI-2.8M mwezi (MAONGEZI YAPO)
________________________
MUDA WA MALIPO-MKATABA WA MWAKA MMOJA(MALIPO UNAWEZA LIPA MIEZI 06/AWAMU MBILI KWA MWAKA)
__________________________
MALIPO YA DALALI-KODI YA MWEZI
(UNALIPA MTEJA/MPANGAJI)
__________________________
GHARAMA ZA KWENDA SITE-20,000/=
_____________________________
MAWASILIANO
0767833496(Call)
0622111186( Whatsap)
_____________________________
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

#nyumba #dalali #dodoma #diamondplatnumz #wasafi #alikiba #zuchu #harmonize #tanzanianweddings #gainwithxtiandela #mangekimambi #mbeya #daressalaam #gainwithmugweru

Neiba dalali
dalali_goodneighbour_dodoma
Neiba dalali

Similar items by location

Plot for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 35,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO MARTIN LUTHER NYUMA YA TMDA JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 735 sq.mKina HATIKina...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI ZA KISASA ZINAPANGISHWA ZIPO ZA AINA MBILI TOFAUTI SEHEMU 'A'#VYUMBA 2 VYA KULALA KI...

House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

Chumba chnye choo ndan Maji yanaflow ndan Bei 200kMalipo kuanzia Miez 3+ 200k tahadhari Hapa Ubungo ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

APARTMENT NZURI ZA KISASA ZINAPANGISHWA ZIPO ZA AINA MBILI TOFAUTI SEHEMU 'A'#VYUMBA 2 VYA KULALA KI...

House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 200,000

Chumba chnye choo ndan Maji yanaflow ndan Bei 200kMalipo kuanzia Miez 3+ 200k tahadhari Hapa Ubungo ...

House for sale at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 38,000,000

ZIMESHUKA BEI-NYUMBA ZIKO 2 ZINAUZWA KATIKA KIWANJA KIMOJA AREA C KARIBU NA TOWNWAWEKEZAJI USIHANGAI...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

MPYAAA MPYAAA APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 6🏠APARTMENT HII INA SIFA ZI...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 150,000

MPYAAA MPYAAA APARTMENT NZURI YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 150,000/= X 6🏠APARTMENT HII INA SIFA ZI...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

APARTMENT NZURI MPYA YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO...

House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 250,000

APARTMENT NZURI MPYA YA KISASA INAPANGISHWA BEI NI 250,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA BEI NI 350,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYUMBA 2 VIKU...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 220,000

HII NI KWA WALE WANAOISHI KWA BAJECTIHII NYUMBA KUBWA INAFAA KWA FAMILIA KUBWA INAPANGISHWA IPO PEKE...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI INAPANGISHWA BEI NI 350,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA ZIFUATAZO #VYUMBA 2 VIKU...

4 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 1,800,000

NYUMBA INAFAA KWA MATUMIZI YA OFISI AU MAKAZI INAPANGISHWA UZUNGUNI JIJINI DODOMAIna vyumba vinneEle...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI BEI 350,000/= X 6 NI 🔥APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 350,000

APARTMENT NZURI BEI 350,000/= X 6 NI 🔥APARTMENT NZURI YA KISASA NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA...

Plots for sale at Mawasiliano, Morogoro
  • Project

Sh. 65,000,000

HAPA NI USHUANI ITEGA,ENEO LENYE VIWANJA VIKUBWA_____________________________________________ITEGA-I...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 180,000

APARTMENT NZURI NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 180,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA Z...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 180,000

APARTMENT NZURI NA IPO MTAA MZURI SANA INAPANGISHWA BEI NI 180,000/= X 6 🌟 APARTMENT HII INA SIFA Z...

3 Bedrooms House for Rent at Mawasiliano, Morogoro

Sh. 300,000

NYUMBA KUBWA YA FAMILIA INAYOJITEGEMEA YENYEWE KWENYE FENSI INAPANGISHWA BEI NI 300,000/= X 6 🌟 NYU...