House for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam


MASTER BEDROOM NZURI INAPANGISHWA MBEZI KWA YUSUPH #80k
Chumba cha kulala Choo ndani
Maji yanaflow chooni 
Umeme shared 
Kodi 80,000 Kwa mwezi × 3
Umbali Dakika 10 Kwa mguu toka Kwa Yusuf 
Ndani ya fence parking kubwa 
NB: MKAAJI AWE WA KIKE AU MUME NA MKE
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15
______________
0784810004 
0779646072 
0712545127




















