House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


Nyumba hii ni
Chumba sebule choo jiko tuu
Kod sh laki 2
Malipo miezi 5
Ilipo njia ya mbezi beach kituo ni afrcana
Bajaji za kushea sh 800//
Pikipiki zipo
Luku yako pekeyako
Maji mita munashea
Kwenye fensi zipo nyumba 2
Mwenyenyumba hakai hapo
#0716623170