House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


Nyumba hii ni
Chumba sebule choo jiko //
Luku yako pekeyako
Maji mita munashea wa 2 ni ya dawasa
Fensi ipo kubwa geti lipo kubwa
Kod sh laki 2 // 👈 👈
Malipo miezi 5 👈
Mwenyenyumba hakai hapo
Ilipo njia ya mbezi beach kituo ni afrcana 👈
Mazigila utulivu sana
#0716623170