House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


Nyumba hii ni
Chumba choo na seem ya jiko lipo
Kod sh laki 10,0000 //
malipo miezi 4 👈
Luku yako pekeyako
Kwenye fensi munakaa wa 3 tuu
Mwenyenyumba hakai hapo
Ilipo njia ya mbezi beach kituo ni jkt 👈
Umbali ni dakika 7 tuu kwa miguu kutembea tuu 👈
#0716623170