House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 80,000 per sqm
Project
Yes

MRADI UMEPATIKANA DAKIKA ZA JIONI SANA ..MCHELEWE NYINYI TU.

Wewe unakopeshwa kiwanja mbweni tena mkopo wa miezi sita(6).

MBWENI, MBWENI MALINDI

โžก๏ธ Eneo la Viwanja linaangalia barabara kubwa kabisa inayojengwa lami muda sio mrefu.

โžก๏ธ Hapa tumepima viwanja 8 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa unaingia ndani kwako hapo hapo, SWIPE LEFT UONE PICHA ๐Ÿ“ธ.

โžก๏ธ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri, nadhan mbweni wengi mnaijua kwa kupangika.

โžก๏ธ Ukihitaji na hatimiliki utapatiwa baada ya kumaliza malipo kwa kuchangia gharama kidogo.

โžก๏ธ Viwanja vipo sehemu ambayo unapata upepo wa bahari vizuri sana.

โžก๏ธ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

โ—โ—โ— Watu wa kujenga apartments hapa panawafaa pia tena sana maana kuna upepo wa bahari wa kutosha.

๐—•๐—˜๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—˜

Hapa tunauza sqm 1 kwa 80,000/=. Yaani tunamaanisha ukiwa na 50MILIONI unapata kiwanja hapa ushuani kabisa.

Ukubwa wa viwanja umeanzia sqm 630 mpaka sqm 1500.

Inamaana ukihitaji kiwanja kikubwa zaidi unaruhusiwa kuunganisha viwanja viwili hadi vitatu ili mradi upate ukubwa unaotaka wewe.

Malipo ya hapa ni mkopo wa miezi 6, utaanza na 50% ya bei ya kiwanja halafu inayobaki utamaliza ndani ya miezi 6.

๐—จ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—๐—˜๐—–๐—ง ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—๐—”

Hakuna umbali wowote maana eneo limegusa barabara kubwa yaani mbweni road.

๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ญ๐—ข ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—œ๐—˜ ๐—ก๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ
#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima, inamiliki na yenye mamlaka ya kupauza hapa.

Tunajari wateja wetu.

Pia usisahau kutuFollow sustainablecities_company
sustainablecities_company sustainablecities_company

Fika ofisini kwetu ๐—ง๐—˜๐—ฉ๐—œ ๐—–๐—ข๐— ๐— ๐—˜๐—ฅ๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ ๐—ฃ๐—”๐—ฅ๐—ž(๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ผ ๐—ก๐—•๐—– ๐—•๐—”๐—ก๐—ž), ๐— ๐—•๐—˜๐—ญ๐—œ ๐—•๐—˜๐—”๐—–๐—› ๐—ง๐—”๐—ก๐—ž๐—œ ๐—•๐—ข๐—ฉ๐—จ - ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐— .

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

3 Bedrooms House/Apartment for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 650,000,000

NEW APARTMENT FOR SALE๐–จ๐–ช๐–ฎ ~ ๐–ฃ๐– ๐–ฑ ๐–ค๐–ฒ ๐–ฒ๐– ๐–ซ๐– ๐– ๐–ฌ๐–ณ๐—“๐–ฌ๐– ๐–ง๐– LI - MBWENI MALINDI_____________...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 5,300,000

APARTMENT ZINAUZWA MBWENI; KUNA ZA VYUMBA VI 3 VYA KULALA NA VYUMBA 2 VYA KULALA; SQM 889; HATI IPO;...

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 2,500,000

๐Ÿก NYUMBA YA KISASA INAPANGISHWA - STAND ALONE HOUSE๐Ÿ“ Eneo: Mbweni๐Ÿ”น Maelezo ya Nyumba:๐Ÿ›๏ธ Vyumba 3...

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 2,500,000

๐Ÿก NYUMBA YA KISASA INAPANGISHWA - STAND ALONE HOUSE๐Ÿ“ Eneo: Mbweni๐Ÿ”น Maelezo ya Nyumba:๐Ÿ›๏ธ Vyumba 3...

Plots for sale at Mbweni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 450,000,000

Viwanja vinauzwa vipo mbweni ubungo vyote square meter 2800 vinagusa lami hati miliki tsh 450 Milion...

3 Bedrooms House for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000,000

Nyumba inauzwa mbweni jkt bedroom's 3 self conteined one sitting room dining room kitchen public toi...

5 Bedrooms House for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 350,000,000

House For Sale Location:Mbweni Ubungo Plot Size Sqm 1788Documents:Title Deeds(Ina Hati Ya Wizara)5 B...

4 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 300,000

4/6/2025Nyumba inapangishwa apartment Kodi 300,000 kwa mwezi Mbweni 4Vyumba 3 kimoja master sitting ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

#VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBWENI UBUNGOโ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 170,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 170Sqm 1070Mbweni MpijiFully documentContact#0676_218580 (WhatsApp)#0693_67...

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 2,500,000

NYUMBA INA PANGISHWA IPO MBWENI MALINDI ESTATE DSM TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ NYUMBA INA PANGISHWA INA VYUMBA VI...

5 Bedrooms House for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000,000

Ghorofa hili nmeagizwa niiuze haraka sana....Location ...mbweni//dovya Unaingilia njia ya mbweni ubu...

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 2,500,000

๐Ÿก NYUMBA YA KISASA INAPANGISHWA - STAND ALONE HOUSE๐Ÿ“ Eneo: Mbweni๐Ÿ”น Maelezo ya Nyumba:๐Ÿ›๏ธ Vyumba 3...

House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT ZINAPANGISHWA ๐–จ๐–ช๐–ฎ ~ ๐–ฃ๐– ๐–ฑ ๐–ค๐–ฒ ๐–ฒ๐– ๐–ซ๐– ๐– ๐–ฌ๐–ณ๐—“๐–ฌ๐– ๐–ง๐– ๐–ฑ๐–จ ~ MBWENI MPIJI____________...

4 Bedrooms House for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 550,000,000

NYUMBA INAUZWAKIPO ~ DAR ES SALAAM-TzMAHALI - MBWENI MPIJI________________UKUBWA KIWANJA CHAKE ~ SQ...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 160,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 160Sqm 1200Mbweni UbungoFully documentdalalimwembamba_mbweni Contact0712464...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 170,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 170Sqm 1070Mbweni MpijiFully documentdalalimwembamba_mbweni Contact07124647...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 150,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 150Sqm 750Mbweni Round aboutFully documentdalalimwembamba_mbweni Contact071...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 440,000,000

Kiwanja kinauzwa mbweni jkt square meter 1700 tsh 440 milionContact 0716805939 whatsaap 068203553507...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 1,000,000

#Repost Dalalimbezibeach_semba โ€ข โ€ข โ€ข โ€ข โ€ข โ€ข#VYUMBA_VIWILI _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR...