House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 80,000 per sqm
Project
Yes

MRADI UMEPATIKANA DAKIKA ZA JIONI SANA ..MCHELEWE NYINYI TU.

Wewe unakopeshwa kiwanja mbweni tena mkopo wa miezi sita(6).

MBWENI, MBWENI MALINDI

โžก๏ธ Eneo la Viwanja linaangalia barabara kubwa kabisa inayojengwa lami muda sio mrefu.

โžก๏ธ Hapa tumepima viwanja 8 tu na vyote vipo sehemu ambayo unatoka barabara kubwa unaingia ndani kwako hapo hapo, SWIPE LEFT UONE PICHA ๐Ÿ“ธ.

โžก๏ธ Viwanja vimepimwa na vipo katikati ya maeneo ambayo yote yamepimwa na yamepangika vizuri, nadhan mbweni wengi mnaijua kwa kupangika.

โžก๏ธ Ukihitaji na hatimiliki utapatiwa baada ya kumaliza malipo kwa kuchangia gharama kidogo.

โžก๏ธ Viwanja vipo sehemu ambayo unapata upepo wa bahari vizuri sana.

โžก๏ธ Suala la miundombinu yote ipo hapohapo site sijui maji sijui umeme na majirani waliopangika na kujenga nyumba nzuri hapo hapo.

โ—โ—โ— Watu wa kujenga apartments hapa panawafaa pia tena sana maana kuna upepo wa bahari wa kutosha.

๐—•๐—˜๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ž๐—จ๐—•๐—ช๐—” ๐—ช๐—”๐—ž๐—˜

Hapa tunauza sqm 1 kwa 80,000/=. Yaani tunamaanisha ukiwa na 50MILIONI unapata kiwanja hapa ushuani kabisa.

Ukubwa wa viwanja umeanzia sqm 630 mpaka sqm 1500.

Inamaana ukihitaji kiwanja kikubwa zaidi unaruhusiwa kuunganisha viwanja viwili hadi vitatu ili mradi upate ukubwa unaotaka wewe.

Malipo ya hapa ni mkopo wa miezi 6, utaanza na 50% ya bei ya kiwanja halafu inayobaki utamaliza ndani ya miezi 6.

๐—จ๐— ๐—•๐—”๐—Ÿ๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ฃ๐—ฅ๐—ข๐—๐—˜๐—–๐—ง ๐—ฌ๐—” ๐—ฉ๐—œ๐—ช๐—”๐—ก๐—๐—”

Hakuna umbali wowote maana eneo limegusa barabara kubwa yaani mbweni road.

๐—ž๐—ช๐—” ๐— ๐—”๐—˜๐—Ÿ๐—˜๐—ญ๐—ข ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ ๐—ง๐—จ๐—ฃ๐—œ๐—š๐—œ๐—˜ ๐—ก๐—”๐— ๐—•๐—” ๐—›๐—œ๐—ญ๐—œ
#0713132109 [Call and Whatsapp]
#0713132109 [Call and Whatsapp]

Kutembelea site ni kila siku pale mteja atakapohitaji kufika site na kujionea viwanja bila gharama yoyote ni muda wako tu mteja.

Mradi huu unauzwa na Sustainable Cities Company Limited na kampuni ndio imepima, inamiliki na yenye mamlaka ya kupauza hapa.

Tunajari wateja wetu.

Pia usisahau kutuFollow sustainablecities_company
sustainablecities_company sustainablecities_company

Fika ofisini kwetu ๐—ง๐—˜๐—ฉ๐—œ ๐—–๐—ข๐— ๐— ๐—˜๐—ฅ๐—–๐—œ๐—”๐—Ÿ ๐—ฃ๐—”๐—ฅ๐—ž(๐—ถ๐—น๐—ถ๐—ฝ๐—ผ ๐—ก๐—•๐—– ๐—•๐—”๐—ก๐—ž), ๐— ๐—•๐—˜๐—ญ๐—œ ๐—•๐—˜๐—”๐—–๐—› ๐—ง๐—”๐—ก๐—ž๐—œ ๐—•๐—ข๐—ฉ๐—จ - ๐——๐—”๐—ฅ ๐—˜๐—ฆ ๐—ฆ๐—”๐—Ÿ๐—”๐—”๐— .

sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI
sustainablecities_company
sustainable cities company ltd.......VIWANJA,MASHAMBA NA MAKAZI

Similar items by location

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

#VYUMBA_VITATU INAPANGISHWAIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI-MBWENI JKT______________KODI TSHS MIL 1,000,00...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

APARTMENT FOR RENT___________________________VYUMBA VITATU VYA KULALA๐–จ๐–ช๐–ฎ ~ ๐–ฃ๐– ๐–ฑ ๐–ค๐–ฒ ๐–ฒ๐– ๐–ซ๐– ๐– ...

3 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam
  • Project

Sh. 600,000

#VYUMBA_VITATU _VYA_KULALA#INAPANGISHWA #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMAHALI- MBWENI UBUNGOโ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 380,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 380Eneo Sqm 1475Clean document Mbweni JktBlock 3Calls & whastap+255 7125...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

PLOT FOR SALE Tsh MIL 165SQM 600MBWENI JKT

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 270,000,000

PLOT FOR SALE Tsh MIL 270SQM 1400MBWENI JKT

House for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 370,000,000

NYUMBA INAUZWA Tsh MIL 370MBWENI MPIJIUKUBWA ENEO SQM 900DOCUMENT. ( TITLE DEED )โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”โ€”#0712...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 270,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 270SQM 1100KIWANJA KINA SEA VIEWKIPO MBWENI KILIMA HEWAUMILIKI ( TITLE DEED...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 165,000,000

KIWANJA KINAUZWA Tsh MIL 165SQM 600KIPO MBWENI JKTUMILIKI ( TITLE DEED )#MWEMBAMBA_REAL_ESTATETUPIGI...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 320,000,000

PLOT FOR SALE MBWENI JKT BLOCK 8SQM 852ML320HATI SAFIโœ…Contact call 07125316570789731695

5 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 2,000,000

Nyumba inapangishwa inajitegemea mbweni jkt bedroom's 5 self conteined sitting room dining room kitc...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

APARTMENT FOR RENT UFIKAKAJI NI MZURI KWA GARI YOYOTE MBWENI APC PALE PALE FIXED PRICE:500000Terms ...

2 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam
  • By Installment

Sh. 800,000

#REPOST DALALIMBEZIBEACH_SEMBA ย ๐Ÿ  House for Rent โ€“ Mbweni๐Ÿ“ Location: Mbweni๐Ÿ›๏ธ Bedroomsโ€ข 2 Bedroom...

2 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam
  • By Installment

Sh. 800,000

๐Ÿ  House for Rent โ€“ Mbweni๐Ÿ“ Location: Mbweni๐Ÿ›๏ธ Bedrooms โ€ข 2 Bedrooms (Includes 1 Self-Contained Ma...

3 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 600,000

๐Ÿ“NYUMBA NZURI SANA ๐Ÿ˜๏ธ๐Ÿก INAJITEGEMEA INAPANGISHWA: IPO MBWENI UBUNGO (DAR ES SALAAM)INA VYUMBA VIT...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 1,000,000

#REPOST DALALIMBEZIBEACH_S ย #VYUMBA_VIWILIย _VYA_KULALA#INAPANGISHWAย #APARTMENTIKO-DAR-ES-SALAAM TzMA...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam
  • By Installment

Sh. 1,000,000

๐Ÿก Apartment for Rent โ€“ Mbweni, Dar es Salaam๐Ÿ“ Location: Mbweni โ€“ Just 1 minute from the main road๏ฟฝ...

Plot for sale at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 620,000,000

Kiwanja Kinauzwa Location: Mbweni JKTKiwanja kina Sqm 3,000BEI; Million 620ml Maongezi yapo Kiwanja ...

2 Bedrooms House/Apartment for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

Sh. 500,000

๐Ÿ“NYUMBA NZURI SANA ๐Ÿก๐Ÿ˜๏ธ APARTMENT INAPANGISHWA: IPO MBWENI MPIJI (DAR ES SALAAM)INA VYUMBA VIWILI...

5 Bedrooms House for Rent at Mbweni, Dar Es Salaam

$ 1,500 per month

HOUSE FOR RENT 5BEDROOMS LOCATED AT MBWENI JKTBIG SERVANT QUARTERUsd 1500 per monthContact call 0712...