House for sale at Msongola, Dar Es Salaam






GHOROFA MPYA YENYE VYUMBA 6, TSHS.380 MILIONI,
MSONGOLA KITONGA
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hii ni nyumba ya kisasa YAKUHAMIA.
Ipo umbalivwa mita 300 tu kutoka Barabara ya Lami.
Vyumba 6 vya kulala ( 4 Vyoo ndani)
Pia kjna Sebule,Jiko,Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Hapa panafaa sana Familia kubwa inayohitaji utulivu na kuishi kisasa.
____________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
+255714591548.
_____________rr
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.