House for sale in Tabata, Dar Es Salaam


NYUMBA NZURI YENYE HATI,TSHS.195 MILIONI, TABATA-BIMA.
●BIMA ni TABATA YA MWANZO ukitokea Mandela Road/Relini.
Ina Vyumba vya kulala 4 ( Masta 1)
Pia ina Sebule 2,
Vyoo vya Familia 2.
Jiko na Store.
Nyumba ipo Mtaa mzuri na ina Parking ya kutosha.
_______________
ANGALIZO:
Malip ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_______________ryt



















