House/Apartment for Rent at Kibamba, Dar Es Salaam







APARTMENT NZURI INAPANGISHWA KIBAMBA SHULE #200k
===
Chumba cha kulala
Sebule
Choo ndani ( public)
Inajitegemea umeme na maji yanaflow chooni na jikon
===
Bei:200,000 Kwa mwezi × 6
===
Umbali dakika 9 Kwa mguu toka kituoni
===
Ndani ya fence parking IPO
===
NB: Hela ya tahadhari 100,000/= ilipwe sambamba na Kodi
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
===
MAWASILIANO
DALALI KIMARA SUKA LEONARD
0719-092747
0683-387747
0765-494343