House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







🇹🇿 APARTMENT #INAPANGISHWA
📍kimara korogwe
🕑Dakika 8_10 Kutembea kutoka kituo cha Mwendokasi kwa mguu
#SIFAZAKE
Nichumba Kimoja Cha wastani
Choo shea Wawili tu
#Umeme luku wanashare 3 # Maji yanaflow ndani
#Nyumba hii ipo ndani ya fance packing KUBWA ✅
#Mazingira Tulivu Sana no uswahili hapa
# Kodi Tsh 800,00/=x6 (Miezi Sita)
# Malipo ya Dalali Tsh 80,000/=
#Service Charge Tsh 15,000/=
#Piga_📞simu 0659244543
Mpangaji Ana Toka 18/10/2025