House/Apartment for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







NI APARTMENT MBILI TU KWENYE COMPOUND MOJA
============
NA MOJA NDO IPO WAZI
==============
IPO KIMARA MWISHO KM 2 KUTOKA KITUO CHA MWENDOKAS
==============
USAFIRI BAJAJI 700 BODA ELFU MOJA MPKA NYUMBAN
==============
KODI NI 200,000 KWA MWEZI MALIPO NI MIEZI SITA
===============
SIFA ZAKE
=========
NI CHUMBA MASTER KIKUBWA SEBULE KUBWA JIKO ZURI KUBWA NA PUBLIC TOILET NZUR YA NJE
===============
KILA APARTMENT INAJITEGEMEA UMEME LUKU YAKE NA MAJI YAKE DAWASA YANAFLOW NDAN
================
IPO NDANI YA FENCE PARKING SPACE KUBWA PERVING BLOCK SAFI MAZINGIRA MAZURI MNOO NA INA TILLES GYPSUM ALUMINIUM SAFI KAMA UNAVYOONA MWENYEWE APO
=================
KWA MAELEZO ZAIDI PIGA SIMU HARAKA
=================
SERVICHAJ ELFU 15 NA ITADUM MPKA UPATE NYUMBA BILA KUCHAJIWA TENA
==============
CONTACT
0742260844
0657384670