House/Apartment for Rent at Mbagala, Dar Es Salaam


Apartment inapangishwa bei laki 2 kwa mwezi kodi kuanzia miezi 4 nakuendelea. Nyumba IPO mbagala chamazi kwamasister, ina tiliz, madilisha vioo, mafeni juu panga boy yapo, jiko, umeme unajitegemea luku yk pamoja na maji pia mita yk, na fensi ya parking ipo pia. Wapangaji jumla 2 tu basi ndani ya fensi moja. Kwa mawasiliano zaidi pga namba 0688559385 au pga namba 071925 0426.