House/Apartment for Rent at Mbezi, Dar Es Salaam







APARTMENTS 4 zinauzwa Milioni 49 maongezi yapo
๐Zipo MBEZI MWISHO MAKABE CENTRE - Dar es salaam - Tanzania
โApartment mbili ni Sebule na Chumba master
โApartment 2 ni chumba chumba kila Mpangaji analipa kodi Elf 50 kwa kila chumba
โMakusanyo ya kodi kwa mwezi kwa wapangaji wote ni laki (200,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (2,400,000)
โApartments zote 4 zimejaa wapangaji
โPlot size Sqmt 600
โDocument Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*Bei shilingi milioni 49 maongezi yapo*
โ๏ธ0788 077337 โ๏ธ 0625 637254