House/Apartment for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam


Apartment kali sanaa
@
Inapangishwa
@
Bei 350,000 kwa mwez
@
Malipo miez 6 na dalali 7
@
Ipo maeneo ya ubungo maewe
@
Ni master sebule jiko
@
Fensi parkingi ipo
@
Umeme na maji mita yako
@
Ufikaji dakika 15 kwa mguu
@
Garama ya kupelekwa ni sh 30000
@
Kwa mawasiliano ya sm 0756999550
@
Namba ya wasp 0659848687