Plot for sale at Madale, Dar Es Salaam







INAUZWA NA NIABA YA BANK, TSHS.40 MILIONI,MADALE MBOPO (KWAMANYAMA)
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,000.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Jengo la muundo wa kisasa.
Vyumba 3 (Masta 1) Sebule,Jiko,Dining-room,Store na Choo cha Familia ndani.
Pia kuna Banda la Chumba kimoja nyuma.
___________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu.
+255714591548
___________mpg
Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.