Plot for sale in Mbezi, Dar Es Salaam


KIWINJA KIZURI SQM.700, TSHS.25 MILIONI,MBEZI-MSUMI.
Hii ni Bei rafiki sana kulinganisha na aina ya Kiwanja anyone kilipo.
Ni mita 500 tu kutoka Barabara inayowekewa Lami kutoka Madale Kuja Msumi.
Ukubwa SQM. 700.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Eneo limejengeka vizuri na mitaa imepangika vilivyo.
Wahi njoo usimuambie mtu shauri yako.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
______________mpg



















