Plot for sale at Mjini, Ruvuma

 media -1
media -1
Sh. 100,000,000

NYUMBA INAUZWA AREA C-IPO KARIB NA MJINI.

(Vyumba 03-Kimoja masta,seble,jiko,dining,public toilet!)

KIWANJA-500sqm

DOCUMENT-HATI

BEI-ASK?

CHUKUA ELIMU HAPA (MUHIMU)
____________________________________________
1.MOJA KATI YA VIGEZO VYA MSINGI UNAPOANGALIA THAMANI YA NYUMBA NI MAHALI ILIPOJENGWA
____________________________________________

2.KATIKA MWAVULI WA REAL ESTATE UKITAKA KUWA REAL ESTATE INVESTOR MZURI LAZIMA UZINGATIE LOCATION PROPERTIES ZAKO ZILIPO.HIYO NI MOJA KATI YA SABABU ZA MSINGI SANA KIBIASHARA SABABU INASAIDIA KWENYE KUJUA THAMANI,KUPANGA BEI LAKINI PIA KUWEZA KUJUA RETURN YAKO (umewekeza lakini inaweza kukuchukua muda gani kupata ile pesa na faida kuanza kuiona?)
________________________________________________

3.KWA MKOA WA DODOMA MAENEO YENYE SOKO ZURI KIBIASHARA IWE KUPANGA,KUUZA NYUMBA BASI KWA HARAKA ZAIDI MAENEO YA AREA C,AREA D,UZUNGUNI,AREA A,AREA E(emmaus) Yanasoko zaidi
Naweza kukwambia nyumba nzuri ya kupanga Area C,Area D,Uzunguni,Emmaus(Area E) inaweza kuwa na bei kubwa kuliko nyumba zilizo maeneo ya kisasa,Ilazo,meriwa,makulu ama chidachi (Pita kwenye page hii hii kwaajili ya Research)
_____________________________________________
04.NIWAIBIE SIRI REAL ESTATE INVESTORS Badala ya kujenga nyumba yako ya kupanga ilazo,kisasa,n.k ambako kuanzia kiwanja mpaka nyumba vitakugharimu zaidi ya 100M ni mara kumi bora zaidi kununua Nyumba za bei nafuu(Wengi huziita za kizamani) maeneo karibu na mjini ambazo ukazi-Renovate zikakaa katika ubora mzuri na ukapangisha kwa bei nzuri zaidi ya hata uko ulikotaka kujenga sababu soko la mjini ni kubwa na linalipa zaidi.Na hata kwenye kuuza unaeza uza bei nzuri zaidi lakini pia kupata mteja kwa haraka ukilinganisha na maeneo mengine
_______________________________________________
05.WATU WENGI WANAKUWA NA HELA LAKINI WANAKOSA MTU SAHIHI WA KUMSHAURI,UKIHITAJI CONSULTATION KWENYE MASUALA YA REAL ESTATE NIPIGIE.
NI MUHIMU KUWA NA TAARIFA SAHIHI KUTOKA KWA MTU SAHIHI KABLA YA KUFANYA JAMBO
"IF YOU WANT TO KNOW SOMETHING CONSULT AN EXPERT" SABABU SISI WASWAHILI HUWA TUNA MAJIBU YA KILA SWALI ILA HATUNA TAALUMA YA KILA KITU.
____________________________________________

Extraordinary_dodoma
dalali_extraordinary_dodoma
Extraordinary_dodoma

Similar items by location

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

Plot for Sale,nzuri Ipo MJINI Location Ubungo Riverside Kibangu Dakika 15 Kutembea mpaka Kituoni B...

3 Bedrooms House for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 27,000,000

👉PAGALE LINAUZWA DODOMA MAHUNGU👉BARABARA YA SINGIDA - MWANZA➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖👉UMBALI TOKA MJINI MPAK...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 35,000,000

KIWANJA KINA FENSI PANDE MBILI KINAUZWA MAKULU OSTERBAY JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 700 sq.mKina fen...

House/Apartment for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 200,000

APARTMENT FOR RENTMorogoro Mjini200,000/=Contacts0678-517158/0785-517158

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 10,000,000

KIWANJA KINAUZWA MICHESE MWANZO WA LAMI BLOCK ZE JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 475 sq.mKina HATIKipo m...

Plots for sale at Mjini, Ruvuma
  • Project

Sh. 14,000,000

VIWANJA VIWILI VIMEUNGANA VINAUZWA MICHESE MWANZO WA LAMI BLOCK ZE JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 600 ...

4 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 500,000

Nyumba inapangishwa inajitegemea kwenye fensi Kodi 500k kwa mwezi Location jacaranda mjini Vyumba vi...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 517,158

HOUSE FOR RENTBomaroad Moro mjini2.Mil per monthMore details0678-517158/0785-517158

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 517,158

HOUSE FOR RENTBomaroad mjini morogoroMillion.20678-517158/0785-517158

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 85,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI KINAUZWA ILAZO JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 700 sq.mCha kwanza LAMIEneo limej...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 45,000,000

KIWANJA CHA KWANZA LAMI KINAUZWA CHIDACHI JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 618 sq.mCha kwanza LAMIKina HA...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 120,000

MPYAA MPYAAA KABISA KODI 120,000x4Utahesabika miezi 3 na mmoja wa tahadhari PESA YA USAFI NA MLINZI ...

House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 120,000

MPYAA MPYAAA KABISA KODI 120,000x4Utahesabika miezi 3 na mmoja wa tahadhari PESA YA USAFI NA MLINZI ...

2 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

MJINI KATI MWANZAGOROFA YA NANENYUMBA INAPANGISHWAVYUMBA VIWILI VYA KULALA ((SELF 1))SEBURE KUBWAJIK...

2 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

MJINI KATI MWANZAGOROFA YA NANENYUMBA INAPANGISHWAVYUMBA VIWILI VYA KULALA ((SELF 1))SEBURE KUBWAJIK...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 30,000,000

KIWANJA KINAUZWA CHIDACH DODOMA.👉 Km Tano Kutoka mjini👉 Kiwanja cha Nne kutoka lami👉Kina ukubwa w...

2 Bedrooms House for Rent at Mjini, Ruvuma

Sh. 8,000,000

MJINI KATI MWANZAGOROFA YA NANENYUMBA INAPANGISHWAVYUMBA VIWILI VYA KULALA ((SELF 1))SEBURE KUBWAJIK...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 1,500,000

Kiwanja kinauzwa kipo Mjini maeneo ya MoroccoUkubwa wa Kiwanja Sqm 2.425Kiwanja kina Hati Miliki Bei...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 9,800,000

KIWANJA KINAUZWA MICHESE ROMAN BLOCK ZL JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 1,155 sq.mKipo kilometer 10 toka...

Plot for sale at Mjini, Ruvuma

Sh. 28,000,000

KIWANJA KINAUZWA ILAZO EXTENSION BLOCK E JIJINI DODOMAEneo ukubwa ni 547 sq.mJirani na mjiniEneo lim...