House for rent at Kibamba, Dar Es Salaam


APARTMENTS MPYA ZINAPANGISHWA KIBAMBA SHULE #120k
===
Chumba cha kulala
Sebule
Choo ndani
Maji yanaflow
Umeme 2
===
Bei: 120,000 Kwa mwezi × 3
===
Usafiri bodaboda au Bajaji
===
Ndani ya fence parking IPO
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
===
Dalali kimara suka Leonard
0719-092747
0683-387747
Napatikana muda wote karibuni sana wateja