House for Rent in Kibamba, Dar Es Salaam







NYUMBA INAPANGISHWA KIBAMBA CHAMA YA JUU NDO IPO WAZI
Vyumba vya kulala 2 kimojawapo master bedroom sebule jiko kubwa na public toilet
Kodi 320,000 kwa mwezi × 6
Inajitegemea ,maji na umeme, iliyopo wazi ni yajuu. Full AC vyumba vyote na sebuleni
Kutoka kituoni dakika 8 kwa mguu
Dalali mzoefu mwezi mmoja ulipiapo nyumba sevchage 20,000 kuona nyumba
Mawasiliano 0656623510
WSP 0752436347




















