House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam


Chumba. Masta nzuli sana zinapangiahwa ziko 5  ndani.ya.fensi usalama upo camera zimefungwa usalama kama ikuru  izi masta zipo kimara mwishwa eneo.milenia shule au  unaweza kupita kwa mkwere baa unafika
_____________________________________
Usafri upo wa kutoshwa sana
Boda 1000๐
Bajaji  700๐
_____________________________________
Sifa  za hizi.masta kama izi 
___________________________________
Chumba masta  maji yanatoka chooni bomba ra mvua  lipo shawa zipo
Umeme na..ma ji mnashea wa 3
Camera zimefungwa  usarama kama peponi pevingbrock zipo.ukanyagi mchanga 
___________________________________
masta izi zinapangishwa 100000x3๐
Yani rakimoja malipo miezi mitatu๐
____________________________________
Ndugu.mteja kuona.nyumba zetu 15000
__________________________________
*KWA MAELEZO ZAIDI PIGA*
========================
*WSP:0620_436331*
*CALL:0758_602157*
========================




















