House for rent at Kimara, Dar Es Salaam


🇹🇿 #APARTMENT #MPYAA #INAPANGISHWA
➖➖➖➖➖
📍Kimara Mwisho
🕑Dakika 8 Kutembea Toka Mwendokasi Barabara Nzuri Mpaka Hapo.
🏠#SIFAZAKE
🔹Chumba kimoja master
🔹Sebule
🔹Jiko linawekwa Makabati
🔹Umeme Luku Yake, Maji yanaflow ndani
🔹Fenced Car Parking
👉Bado Finishing Chache tu,Inakuwa Tayari Kuhamia Tar 30/05/2024 kuiona na kulipia Ruksa
🔶Kodi Tsh 250,000/=×6(Miezi Sita)
🔶Malipo ya Dalali Jose Tsh 250,000/=
🔶Service charge Tsh 15,000/=
__________
#Piga_simu
,
#0688573777 & WhatsApp
,
Karibu Sana Ndg Mteja😊👍