House for Rent at Kimara, Dar Es Salaam







APARTMENT ZINA PANGISHWA KIMARA SUKA DK10 KWA MIGUU KUTOKA LAMI  BODA BUKU.
-------
Chumba 
Seble kubwa 
Jiko kubwa  lina wekwa kabati za chini
Public toilet 
Maji yana flow 
Luku yako 
Ndani ya fence 
Parking space kubwa sana 
--------
Service charge 15,000/=
Kodi 250,000/=ร6
---------
Malipo ya dalali ya mwezi mmoja ambayo ni laki 2.5 
----------
Contact 
#KIUMBE_REAL_ESTATE_AGENT 
EPUKA MATAPELI FANYA KAZI NA MADALALI WENYE OFFICE NA WALIYO SAJILIWA ๐



















