House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


350,000 
Mbezi kwa msuguli 
STAND ALONE KUBWA SANA YA KIFAMILY 
INAFANYIWA MAREKE BISHO YOTE BILA SHAKA 
MTAA TULIVU
INAPANGISHW MBEZI KWA MSUGULI #350k
Vyumba 4 vya kulala kimoja master 
sebule jiko 
na public toilet ya ndani 
Sto kubwa ya jikoni 
Mtaa wa kishuwa kabisa
Kodi 350,000 Kwa mwezi × 6
Ina pigwa langi nyumba nzima
Umbali dakika 7
Kwamiguu kutoka Morogoro road Ipondani ya fence kubwa
Unaweza kufuga ina eneo kubwa sana la kufugia
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
PIGA CM 0764575774




















