House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam


(150,000X3)+HELA YA TAHADHARI 150K..
MBEZIMWISHO
MASTER BEDROOM NA JIKO INAPANGISHWA MBEZI KWA YUSUPH #150k
==
Chumba cha kulala
Choo ndani
Na jiko
#Hakuna_sebule
Umeme wawili
Maji yanaflow chooni
Fence na parking ya uhakika
===
Kodi 150,000 Kwa mwezi × 3
===
Umbali dakika 12 Kwa mguu toka kituoni
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 15 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
====
CONTACT US:-
0716223412
0683597453
Napatikana muda wote karibuni sana wateja