House for rent at Mbezi, Dar Es Salaam
300,000
APARTMENT INAPANGISHWA MBEZI KWAMSUGURI #300K
===
Vyumba 2 vyakulala kimojawapo master bedroom sebule, JIKO STORE na public toilet
==
Kodi 300,000 Kwa mwezi × 3
===
Umbali KM 2
===
Nyumba haina fensi Ulinzi kama lugalo parking kubwa yakutosha, kila apartment inajitegemea umeme (submit) na maji yanaflow chooni na jikon
===
Kupelekwa kuona nyumba elfu 20 itadumu mpaka upate bila kuchajiwa tena
0710614924
0688653940