House for Rent at Pugu, Dar Es Salaam


NYUMBA YA BIASHARA VYUMBA 11, TSHS.80 MILIONI,PUGU-SHULE YA MSINGI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 580.
Umiliki ni MKATABA WA MAUZIANO.
Hapa ni jirani na Barabara kuu na
Gari moja tu hadi Mjini.
Panafaa Familia kubwa au tena kupangisha ili upate maokoto.
Nyumba Ina KISIMA.
Na Parking ipo.
Wahi uje kuona na ufanye maamuzi mapema.
.
_______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
_________________mskv


















