House for Rent at Ubungo, Dar Es Salaam


NYUMBA YA KUPANGA- #UBUNGO_MAKOKA 170,000 KWA MWEZI KODI MIEZI 6
###############
#CHUMBA MASTER,SEBULE KUBWA NA JIKO KUBWA Tsh. 170,000/=
###############
#Usafiri bajaj 700 kutokea ubungo riverside au kimara korogwe kilungure mwendokasi
###############
#Ni nyumba ya Kisasa ina Sebule na jiko Chumba cha kulala na choo ndani
###############
#Full Tilles,Gypsum & Aluminum slide window.
################
#LUKU ya kushea wawili na submeter na Maji yapo DAWASCO yanaflow ndani
################
#Nyumba Haina fensi ila gari linafika Hadi nyumbani nyumbani
################
#Kodi 170,000/= Kwa mwezi malipo miezi 6 na malipo ya mwezi mmoja wa dalali
###############
#Service_Charge_15,000/= ya kuonyeshwa na kutafutiwa Nyumba mpaka upate bila kuchajiwa tena ukirudi.
################
#Dalali_Ambwene_Ubungo
#0769-680-796
#0712-348-316 whtsp