House for Rent at Ukonga, Dar Es Salaam


🏠 NYUMBA YA BIASHARA INAUZWA – UKONGA GONGO LA MBOTO!
Karibu na Kampala University, barabara ya lami kabisa 🚗
Ina vyumba 7 vyote vimepangishwa na wanafunzi, kila kimoja na LUKU yake 🔌
📍 Mtaa wa Markazi, Ukonga
📐 Ukubwa: 449Sqm (Kitalu Na. 30)
📑 Umiliki: Leseni ya makazi
💧 Maji DAWASA + Tenki
🔒 CCTV Camera
💡 Umeme wa uhakika
💰 Bei: TZS 180M (maongezi yapo)
📞 0788 958 441
➡️ Uwekezaji wa uhakika, kipato kila mwezi!
__
#nyumba #houseforsale




















