House for sale at Kimara, Dar Es Salaam


Bei ni 400k x 6
Apartment kubwa na ya kisasa kabisa ina vyumba 3 vya kulala kimojawapo ni master,sebule kubwa,jiko kubwa la kisasa na choo cha familia na vyumba vyote Kuna makabati kwenye fensi moja zipo apartment 3 na hii moja ndio imebakia na kila apartment inajitegemea kwa kila zipo kimara korogwe upande wa kulia kama unaenda mbezi kutoka Morogoro road hadi kwenye nyumba ni km 1..0745178262