House for sale at Mbezi, Dar Es Salaam


🔰 Inapangishwa MBEZI KIBANDA CHA MKAA
#350,000/= x4
________
 ________
• Vyumba 2 vya kulala vikubwa (kimojawapo ni master bedroom kubwa)
• Sebule Kubwa
• Jiko Kubwa
• Public toilet 
* Inajitegemea UMEME 
* MAJI yanatoka Ndani
* Ndani ya Fensi ziko 2 
* Reserve Water Tank
#Umbali km 2 bajaji 700, ukishuka unatembea dk tatu tu
#Pia Unaweza pitia Kimara Temboni 
_______
#Malipo ya Dalali Nasoni ni 350,000/=
#Kupelekwa kuona nyumba elfu 15,000/=
№: 0753-172-516




















